MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Sunday, April 1, 2012

Vodacom Tanzania yakabidhi Milion 30 kwa wanawake wajasiriamali Mlandizi mkoani Pwania

 Meneja wa mradi wa Mwei  kutoka   Vodacom Tanzania, Mwamvua Mlangwa ,akimkabidhi  Radhia Abdalah  ambaye ni mmoja wa akina mama wajasiriamali wa kikundi cha Kilangalanga kilichopo  Mlandizi  mkoa wa Pwani.Jumla ya  akina mama 425 wamekopeshwa MWEI zaidi ya shilingi Milioni 30, ambazo hazina riba yoyote.



 Baadhi ya akina mama wajasiriamali wa kutoka  vikundi mbalimbali katika kijiji cha Kilang langa  Mlandizi wakiwa na watoto wao wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza,(hayupo pichani)  wakati akitoa maelezo namna ya kuweza kutumia vizuri mikopo  waliyopewa na Vodacom kupitia mradi wa Mwei .Jumla ya akina mama wajasiria mali 425 walinufaika na mkopo  usiokuwa na liba wa zaidi ya shilingi milioni 30



 .Mkuu wa mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza akimkabidhi fedha  mmoja wa akina mama wajasiliamali wa kikundi cha Kilangalanga cha Mlandizi,Fedha hizo zilitolewa na Vodacom kupitia mradi wake wa MWEI kwa ajiri ya kusaidia akina mama wajasiriamali.  Jumla ya akina mama 425 wamenufaika na mkopo huo wenye thamani  zaidi ya Sh Milioni 30. Katikati ni Meneja mradi wa Mwei Mwamvua Mlangwa na Kulia ni Diwani wa kata ya Janga Mlandizi Fedilia Simba.


 Baadhi ya akina mama wajasiliamali wa kikundi cha Kilangalanga  kilichopo Mlanzidi mkoani Pwani ,wakifurahia kupata mikopo isiyo na riba  kutoka  Vodacom Tanzania kupitia mradi wake wa MWEI.Jumla ya akina mama 425 wamenufaika na mkopo wa zaidi ya shilingi milioni 30.

 Meneja mradi wa MWEI Mwamvua Mlangwa wa Vodacom, akimkabidhi mkopo wa fedha  Mwanaid Khamisi, ambaye ni miongoni mwa akina mama wajasiria mali 425 kutoka vikundi mbalimbali  katika  kijiji cha  Kilangalanga Mlandizi. Walionufaika na mkopo wa zaidi ya Sh  Milioni 30.katikati ni mratibu wa mradi wa MWEI Mbuyu Ally.


 Mratibu wa mradi wa MWEI wa Vodacom Tanzania Mgongo Emmanueley akitoa ufafanuzi  kwa akina mama wajasilria mali wa vikundi mbalimblai kutoka katika kijiji cha Kilangalanga  cha Mlandizi kabla ya kuanza kuwakabidhi mikopo isiyo na riba kwa ajiri ya kuweza kuendeleza biashara zao,jumla ya akina mama 425 walinufaika mkopo wa zaidi ya shilingi Milioni 30.


 Mkuu wa kitengo cha Vodacom Foundation Yessaya Mwakifulefule akifafanua jambo  kwa akina mama wajasiliamari,kuhusiana na matumizi ya mikopo waliyopewa  kwa vikundi mblimbali vilivyopo katika kijiji cha Kilangalanga Mlandizi wakati walipokuwa wakisubiria kukabidhiwa mikopo isiyo na liba kutoka Vodacom kupitia mradi wake wa MWEI. Jumla ya akina mama 425 walinufaika na mkopo wa zaidi ya shilingi Milioni 30.






 Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantunu Mahiza akimpongeza Meneja mradi wa Mwei kwa jitihada zake za kuwawezesha akina mama wajasiria mali ,wakati wa hafla ya kutoa mikopo kwa vikundi mbalimblai vya akina mama wajasiliamali kutoka katika kijiji cha Kilangalanga Cha Mlandizi. Jumla ya akina mama 425 walinufaika na mkopo usio na riba wa Sh Milioni 30.kulia ni Diwani wa Kata ya Janga Fedilia Simba na Afisa wa mradi wa MWEI  Kombo…..

No comments:

Post a Comment