Mkurugenzi wa 1Plus, Fina Mango waandaji wa Tuzo hizo akizungumza wakati wa Semina hiyo iliyofanyika jijini, Dar es Salaam.
Baadhi ya waandishi wa habari za Burudani wakifuatilia kwa makini Semina hiyo
Katibu wa Mtendaji wa Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) Angelo Luhala akielezea historia ya Tuzo hizo katika Semina kwa waandishi
Meneja wa Bia ya Kilimanjaro, George Kavishe akizungumza wakati wa Semina ya Tuzo za Muziki kwa mwaka huu zinazotarajia kufanyika April
Kikosi cha Kampuni ya New Habari 2006 Limited kilichopambana na timu ya Vijana wa Chuo cha uandishi wa habari cha Chuo Kikuu cha, Dar es Salaam katika mfulilizo wa michuoano ya mashindano ya NSSF CUP .
No comments:
Post a Comment