Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mikono na kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji (TIC), Raymond Mbilinyi, baada ya kuwasili katika Hoteli ya Tivoli jijini Sao Paulo, Brazil, tayari kwa ziara ya siku tano ya kikazi nchini humo
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mikono na mwandishi mwandamizi wa Habari Leo na Daily News,Joseph Lugendo, alipokuwa analakiwa baada ya kuwasilii Jumapili Aprili 15, 2012 katika hoteli ya Tivoli jijini Sao Paulo, Brazil, tayari kwa ziara ya siku tano ya kikazi nchini humo
Rais Jakaya Mrisho kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwasili Jumapili Aprili 15, 2012 katika hoteli ya Tivoli jijini Sao Paulo, Brazil, tayari kwa ziara ya siku tano ya kikazi nchini humo. Kulia ni Waziri wa kazi na Uwezeshaji Wanachi Kiuchumi na Ushirika wa Zanzibar ,Haroun Ali Suleiman
: Rais Jakaya Mrisho kikwete akiongea na Msaidizi Mwandamizi wa Rais (Diplomasia) Balozi Liberata Mulamula baada ya Mkutano wa maandalizi ya ziara yake ya siku tano nchini Brazil Jumapili Aprili 15, 2012 katika Hoteli ya Tivoli jijini Sao Paulo. katikati ni Waziri wa kazi na Uwezeshaji Wanachi Kiuchumi na Ushirika wa Zanzibar Mh Haroun Ali Suleiman.





No comments:
Post a Comment