MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Tuesday, April 3, 2012

Wadau wa Sekta Binafsi wa ADB NA TPSF washiriki katika Semina Dar es Salaam

Waziri wa Fedha, Mustafa Mkulo akiwa na mwakilishi Mkazi wa Benki ya maendeleo ya Afrika (ADB), Tonia Kandiero, wakati wa Semina ya wadau wa Sekta binafsi na Benki hiyo iliyofanyika Dar es Salaam. Katika ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta Binafi (TPSF), Ester Mkwizu

Waziri wa Fedha Mustafa Mkulo akiwa katika Picha ya Pamoja

Baadhi ya wadau wa Sekta binafsi wakipiga makofi baada ya kufunguliwa kwa Semina hiyo




No comments:

Post a Comment