MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Friday, May 18, 2012

Mwili wa marehemu Mafisango ulivyoaagwa

 Wachezaji wa timu ya Taifa, Taifa Stars wakiwa wamebeba Jeneza la mwili wa marehemu, Patric Mafisango wakati wa kutoa heshima za mwisho Chang'ombe Dar es Salaam
 Wachezaji wakishusha Jeneza
 Mmoja wa ndugu wa marehemu akilia wakati wakati wa kuaaga mwili wa marehemu katika viwanja vya Sigara Dar es Salaam

 Msemaji wa Simba, Ezekiel Kamwaga akilia baada ya kutoa heshima za mwisho
 Kipa wa timu Simba, Juma Kaseja akipoozwa wakati wa kutoa heshima za mwisho

 Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage akimuuongoza Haruna Moshi
 Juma Kaseja akilia wakati wa kutoa heshima za mwisho
 Baadhi ya wachezaji wa timu ya Taifa na Kocha Mkuu wakitoa heshima za mwisho
 Umati uliohudhuria wakati wa kutoa heshima za mwisho
 Mmoja wa waombolezaji akiwa amebebwa
Kocha Mkuu wa timu ya Simba, Millovan Circovic akitoa heshima za mwisho

No comments:

Post a Comment