Mmoja wa wanacha ma wa Yanga akihojiwa na waandishi kuhusu Mwenyikiti wa Klabu hiyo
Baadhi ya Vijana waliofika Klabuni hapo kwa lengo la kumngo'a Mwenyekiti Lloyd Nchunga kutokana kufungwa na Simba goli 5-0 katika mchezo wa ligi Kuu
Askari akilinda usalama ndani ya Klabu hiyo
Mmoja wa Vijana wa Klabu ya yanga akitolea nje naAskari
Askari akilinda usalama
Askari wakilinda Jengo la Klabu ya Yanga
No comments:
Post a Comment