MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Friday, August 24, 2012

SENSA

Mkurugenzi wa Oparesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi nchini, Kamishna Paul Chagonja, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es salaam jana, kuhusu jinsi walivyojipanga kuhakikisha zoezi la sensa linafanyika katika hali ya utulivu na amani

No comments:

Post a Comment