MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Friday, August 24, 2012

Taasisi ya wanawake na Maendeleo (WAMA) yazinduzi wa Mpango Kasi wa Uwezeshaji wanawake

 Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Salma Kikwete (katikati) akiwa katika hafala ya kuzindua Mpango Kasi wa Uwezeshaji  wanawake na wasichana uliofanyika, Dar es Salaam leo
 

Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Salma Kikwete (kulia) akiwa aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Dk. Asha-Rose Migiro wakati wa uzinduzi wa Mpango Kasi wa Uwezeshaji  wanawake na wasichana,   uliofanyika leo Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment