MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Monday, October 15, 2012

Shindano la kumtafuta mama Shujaa wa Chakula 2012 kufanyika leo

 Washiriki wa shindano la kumtafuta Mama Shujaa wa Chakula wakiwa Kijijini Bagamoyo mkoani Pwani
 Mmoja wa washiriki akizumngumza walipotembelewa na waandishi wa habari Kijijini hapo leo
 Hawa ni washiri wa Maisha Plus 2012 wakisikiliza maswali kutoka kwa waandishi wa habari
 Babu wa Kijiji cha Maisha Plus akizungumza na washiriki wa Shindano la Maisha Plus
Washiriki wa Shindano la Mama Shuja wa Chakula 2012 wakitafakari jambo wakiwa Kijijini

No comments:

Post a Comment