Askari
Polisi wakimbeba Mlemavu kumtoa nje baada ya mlemavu huyo kuonekana
akikimbia huku akiwa hana nguo alipokuwa akijaribu kuingia katikati ya
uwanja, alipoulizwa mlemavu huyo alisema kuwa alikuwa akielekea
kumpngeza Mbuyu Twite, baada ya kuachia shuti kali lililomkuna vilivyo
na kutinga wavuni.
Mshambuaji wa timu ya Yanga Simon Msuva (kushoto) akimhadaa beki wa timu ya Tanzania Prisons, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam . Yanga imeibuka na ushindi wa bao 3-1
No comments:
Post a Comment