Wabunge wa Chadema na TLP wakitoka ndani ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma baada ya Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai kukata hoja ya Mbunge wa kuteuliwa, James Mbatia ya kumtaka Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa kuwasilisha Nakala za Mtaala wa Elimu za mwaka 2005
No comments:
Post a Comment