Khadija Kopa akisaidiwa kwenda kupandishwa Ndege mkoani Rukwa alikokuwa kwenye sherehe za Mazingira Duniani
Khadi Kopa akisaidiwa na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Injini Stella Manyanya (kushoto)
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Eng. Stella Manyanya kushoto akimfariji msanii na
taarab na malkia wa mipasho Tanzania,Khadija omar Kopa alipokua kwenye
chumba maalum cha kupumzikia wageni kwenye uwanja wa ndege wa Mpanda
baada ya kupewa taarifa ya kufiwa na mumewe ,Jafari Ali Yussuf
aliyefariki Dunia leoa alfajiri kutokana na ugonjwa, Khadija Kopa
alikua akitokea kwenye maadhimisho ya siku ya mazingira Duniani kitaifa
yaliyoaadhimishwa Namanyere Mkoani Rukwa jana
No comments:
Post a Comment