Rais
Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza Luteni Jenerali Mstaafu
Abdulrahman Shimbo baada ya kumwapisha kuwa Balozi wa Tanzania nchini China
Rais
Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilal
wakiwa na mabalozi wapya walioapishwa leo Juni 11, 2013 katika Ikulu
Ndogo Dodoma. Mabalozi hao ni Mhe Luteni Jenerali Mstaafu Abdulrahman
Shimbo (kuli) , anayekuwa balozi wa Tanzania nchini China na Mhe
Anthony Cheche (kushoto) anayekuwa Balozi wa Tanzania katika Congo DRC.
No comments:
Post a Comment