Maji yakiwa yametuwama katika Mtaa wa Lwichi eneo la Kinondoni |
Pamoja na harufu mbaya inayotoka eneo hilo hakuna jinsi ya kufanya watu wanaendelea na shughuri kama kawaida |
Mama lishe akipita na chakula karibu na Maji yaliyotuwana katika mtaa wa Lwichi kinondoni jijini Dar es Salaam. Maji hayo yanayotowa harufu kali yamekuwa kero kwa wakazi wanaoishi kaibu na eneo hilo ambapo wamesema wamekwishatoa taarifa kwa mamlaka zinazohusia ikiwa ni pamoja na Ofisi ya Mbunge wa Jimbo hilo la Kinondoni lakini hakuna lolote lililofanyika
No comments:
Post a Comment