MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Thursday, January 9, 2014

BASI LA KAMPUNI YA MTEI LACHOMWA MOTO NA WANANCHI WENYE HASIRA BAADA YA KUGONGA BODABODA NA KUSABABISHA VIFO VYA WATU WATATU


Basi la kampuni ya Mtei Express T.742 ACU linavyoonekana baada ya kuchomwa moto na wananchi wenye hasira kali wa kitongoji cha Ijanuka kijiji cha Kisasida manispaa ya Singida,kutokana na kugonga pikipiki aina ya sky go T.368 BXZ na kuua abiria watatu waliokuwa kwenye pikipiki hiyo.Basi hilo lilikuwa likitoka Singida mjini kuelekea Arusha mjini jana (9/1/2014).Picha na Nathaniel Limu









No comments:

Post a Comment