WAFUASI WA CHADEMA NA WAFUASI WA ZITTO WALIVYOSHAMBULIANA
Wafuasi wa Zitto Kabwe wakiwa wametulia kabla ya kuahirisha kesi ilioyofunguliwa na aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Zitto Kabwe ya kupinga kujadiliwa na Kamati Kuu ya Chma hicho kuhusu uanachama wake
Wafuasi wa Chadema na Zitto Kabwe wakiwa wakunjana nje ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam
Wafuasi wa Zitto Kabwe wakiwa na mabango
Mmoja wa wafuasi wa Zitto Kabwe akishangilia nje ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam
No comments:
Post a Comment