Mwili wa aliyekuwa Mwandishi wa Habari Leo, mkoani Manyara, Fortunata Ringo, aliyefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu ukihifadhiwa katika Nyumba yake ya Milele, katika Kijiji cha Mdawi kata ya Kimochi,
Wilaya ya Moshi Vijijini, Mkoani Kilimanjaro jana. Picha na Fadhili Athumani.
No comments:
Post a Comment