Jengo hili la kibiashara lililojengwa katika Barabara ya Nyerere (Pugu Road) karibu na Kiwanda cha Sigara linatarajia kuanza kutumika hivi karibuni ambapo huduma nyingi za kibiashara zitapatikana katika jengo hilo kama vile, huduma za Kibenki, huduma za simu kutoka makampuni mbalimabli ya Simu . Jana waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali walitembelea jengo hilo.
No comments:
Post a Comment