MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Friday, June 3, 2011

Hofu kubwa ilitanda katika Shule ya Msingi Makuburi Mabibo Dar es Salaam ya wanafunzi kutumbukia Chooni jana


Baadhi ya wazazi wa watoto wanaosoma katika Shule ya Msingi Makuburi jijini, Dar es Salaam wakiwa wamezunguka vyoo vya Shule hiyo kushuhudia tukio lililolipotiwa kwamba kuna mwanafunzui alitumbukia kati ya vyoo vya Shule hiyo. Lakini baadaye ilisemekekana kwamba ni mwanafunzi mmoja aliyeenda kwa mwalimu kuripoti kwamba kuna baadhi ya masinki yamepasuka ndipo walimu walipoenda kuangalia ni namna gani yamepasuka ndipo habari zika zagaa mtaani kwamba mwanafunzi ametumbukia kitu ambacho si kweli

Haya ni baadhi ay matundu ya vyoo yaliyofumuliwa na wafanyakazi wa Kikosi cha Zimamoto ili kuhakikisha kama kulikuwa na mwanafunzi ametumbukia ndani











No comments:

Post a Comment