MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Friday, June 10, 2011

Tetemeko laleta kizaaza kwa wafanyakazi wa makampuni wanaotumia jengo la PPF TOWER



Jamani hapa tetemeko limetukumba katika Jengo letu lakini tupo salama ndivyo anavyowasimulia jamaa na ndugu kwa simu huyu dada.

wafanyakazi wanaotumia jengo hilo wakiwa nje








No comments:

Post a Comment