MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Thursday, June 9, 2011

Wanafunzi wa mwaka wa tatu wa Chuo Kikuu cha Elimu Dar es Salaam wavamia Ofisi za Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu kutokana na kudaiwa Ada na Chuo hicho




Mkuu wa Kitengo cha utafiti na Mipango wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu, Hasange Bangu akijaribu kuwaelezea wanafunzi wa mwaka wa tatu wa Chuo Kikuu cha Elimu ya Juu jinsi ya watakavyoweza kushughulikia madai yao






lazima kieleweke




Tunadaiwa Ada na Uongozi wa Chuo halafu nyie mnasema mmetulipia inakuwaje jamani?












No comments:

Post a Comment