Mbunge wa Ubungo, John Mnyika akitoa heshima za mwisho kwa marehemu, Regia Mtema wakati wa Misa ya Kumuaga iliyofanyika katika Kanisa Katoliki Parokia ya Segerea, Dar es Salaam. Mwili huo utaagwa tena kiserikali katika Ukumbi wa Karimjee na kusafirishwa kwenda Ifakara mkoani Morogoro kwa mazishi yatakayofanyika jumatano
Spika wa Bunge, Anne Makinda akiaga Mwili wa Marehemu Regia Mtema
Gavana wa Benki Kuu, Profesa Beno Ndulu akiaga mwili wa marehemu Regia Mtema
No comments:
Post a Comment