MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Friday, March 16, 2012

Mazishi ya Mwakilishi wa jimbo la Bubu Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk .Ali Mohammed Shein, (wa pili kulia) akiwa pamoja na Viongozi wengine wa kitaifa, katika mazishi ya  Marehemu   Salum Amour Mtondoo, aliyekuwa  Mwakilishi wa Jimbo la Bububu CCM ,huko kijijini kwao Bumbwini Wilaya ya Kaskazini B .

No comments:

Post a Comment