MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Thursday, April 26, 2012

Maadhimisho ya miaka 48 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

  
Rais Jakaya Kikwete akiwapungia mkono baadhi ya wananchi waliohudhuria Sherehe za miaka 48 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar


 Kutoka kulia ni Mama Maria Nyerere, Rais mstaafu wa awmu ya tatu, Benjamini Mkapa, Makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Seif Ali Idi, Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilali, na Rais mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibari, Amani Abeid Karume wakiwa katika maadhimisho hayo.
 Rais Akikagua gwaride wakati wa maadhimisho ya miaka 48
 Rais Dk.  Jakaya Kikwete akisalimiana na Makamu wa Rais. Dk Mohamed Gharib Bilali
 Askari wa Kikosi cha wanamaji wa Jeshi la wananchi wa Tanzania wakipita kwa gawaride

 
Askari wa Kikosi cha FFU cha Jeshi la Polisi wakipita kwa gwaride.

 
Wanafunzi wa Shule mbalimbali za msingi waliounda kikundi cha Alaiki, wakiwa katika maonyesho ya Sherehe za miaka 48 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

 Wasanii wa kikundi cha Sanaa cha JKT Oljoro, wakionyesha umahiri  wa kuimba na kucheza wakati wa sherehe hizo

No comments:

Post a Comment