MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Sunday, April 29, 2012

Simba yawabanjua waasudan 3-0 Taifa



 Mafisango mumeona ndivyo alivyokuwa akiwaambia mashabikiwa Yanga baada ya kufunga goli pili dhidi ya timu ya Al Ahly Shandy ya Sudan
 Okwi akishangilia goli la pili dhidi ya Al Ahly Shandy ya Sudan
Waziri Mkuu mstaafu, Federeck Sumaye na  Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage wakiwapungia mikono mashabiki baada ya mchezo kumalizika

Mashabiki wa timu ya Simba wakishangilia baada ya kuibuka na ushindi wa goli tatu dhidi ya Al Ahly Shandy ya Sudan wakati wa Mchezo wa Kombe la Shirikisho uliochezwa katika Uwanja wa Taifa  DaresSalaam






No comments:

Post a Comment