Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akipanda mti kwenye chanzo cha maji katika kijiji cha Ilongero, Singida ikiwa ni siku ya kitaifa ya upandaji miti. Aliyesimama kushoto ni Mkuu wa Mkoa huo, Vincent Perseko Ole Kone.
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akikagua kisima kirefu cha maji baada ya kuongoza upandaji miti katika kijiji cha Ilongero mkoani Singida
No comments:
Post a Comment