Mawakala wa vyama mbalimbali na maofisa wa Tume ya Uchaguzi wakihesabu kura katika moja ya vituo vya jimbo la Arumeru Mashariki kumchagua mbunge wa jimbo hilo jana
Mmoja wa wapiga kura wa jimbo la Arumeru Mashariki, Noel Joseph Palangyo akitumbukiza kura katika sanduku kumchaguzi mbunge wa jimbo hilo
Baadhiya wakazi wa mji wa Leganga, Usa River wakishangilia matokeo ya awali ya uchaguzi wa jimbo la Arumeru wakati yakionyesha Chadema kuongoza
No comments:
Post a Comment