MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Thursday, August 30, 2012

Hatimaye Mbuyu Twite atua

Beki mpya wa timu ya Yanga, Mbuyu Twite akiwa na baadhi ya viongozi wa timu hiyo alipowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam, jana kwa ajili ya Ligi Kuu kwa mwaka 2012/13

No comments:

Post a Comment