MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Saturday, August 25, 2012

Shirika la Hope Foundation Club washiriki katika Kampeni ya Usafi Bagamoyo

 Baadhi ya watoto wanaohudumiwa na Shirika la Hope Foundation Club wakishiriki katika Kampeni ya kusafisha mji wa Bagamoyo mkoani Pwani leo
 wakiokota uchafu kwenye fukwe ya Bahari ya Hindi Bagamoyo
 Wakiongozwa na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Hope Foundation Club, Princess Marsland
 Ofisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Hope Foundation Club, Princess Marsland linalowahudumia baadhi ya watoto yatima, walioathirika na wanaoishi katika Mazingira magumu akiwaongoza watoto hao kuokota takataka wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya kuusafisha mji wa kihistoria wa Bagamoyo
 Vijana wakiokota takataka eneo la Ufukwe wa Bahari ya Hindi Bagamoyo
 Ofisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Hope Foundation, Princess MarslandClub akiwaelekeza jambo vijana wanaohudumiwa na Shirika hilo
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Hope Foundation Club , Princess Marsland akisaidiana na vijana hao kufanya usafi

No comments:

Post a Comment