MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Wednesday, August 29, 2012

ziara Mbunge wa Mvemero ambaye pia ni Naibu Waziri, Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Amos Makalla

 Mbunge wa Mvomero ambaye pia ni Naibu Waziri, Habari,  Vijana, Utamaduni na Michezo, Amos Makalla akiwahutubia wananchi wa vijiji vya Kunke na Kidudwe kata ya Mtibwa wakati wa ziara katika jimbo hilo kwa ajili ya kuzungumza na wananchi na kuwasilikiliza kero zao, ambapo aliweza kukabidhi Mifuko 200 ya Saruji  kwa ajili ya ujenzi wa vituo vya Zahanati katika vijiji hivyo na kukabidhi Pikipiki sita  kwa kata sita kwa ajili ya Shughuri za kila siku za Chama cha Mapinduzi
 Mbunge wa Mvemero na Naibu Waziri, Amos Makala akiwahutubia wananchi wa Kidwe na Kunke
 Mbunge wa Jimbo la Mvemero (CCM) na pia Naibu Waziri, Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Amos Makalla akimkabidhi Pikipiki Moja wa Makatibu watendaji wa Kata

 Mbunge wa Mvemero, Amos Makala akimkabidhi vifaa vya Ofisini Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi, Wilaya Mvemero, Pololet Mgema baada ya kufanya Mkutano na wananchi wa Kijiji cha Kidudwe kata ya Mtibwa hivi karibuni
 Mbunge wa Mvomero, Amos Makala akikagua Kivuko kinatumiwa na wakazi wa Kijiji cha Kisala kabla ya kufanya Mkutano na wananchi akiwa katika ziara katika Jjimbo hilo hivi karibuni
Mbunge wa Mvomero, Amos Makala akikagua Kivuko kinatumiwa na wakazi wa Kijiji cha Kisala kabla ya kufanya Mkutano na wananchi akiwa katika ziara katika Jjimbo hilo hivi karibuni
 Mbunge wa Mvemero, Amos Makalaa akikagua Ujenzi wa Daraja katika Kijiji cha Kisala
 Nahodha wa timu ya Sasa Kazi FC ya Kijiji cha Kisala kata ya Mtibwa mkoani Morogoro, Rashid Sumuri akifurahi baada ya kukabidhiwa jezi na Mpira kwa ajili ta timu hiyo na  Mbunge wa Mvemeroi, AMos Makalla . Pia aikabidhi mpira wa Pete kwa ya Netiball na vijana chini ya umri wa miaka 17
 Mbunge wa Mvemero na Naibu Waziri, Habari, Utamaduni na Michezo, Amos Makala akikagua Gwaride wakati wa ufungaji wa Mafunzo ya Polisi Jamii na Ulinzi Shiriki katika Kata ya Sungaji ikiwa ni Mwendelezo wa ziara ya kutembelea jimbo la Mvomero, Jumla Vijana 400 walimaliza mafunzo hayo na pia kuahidi kuwa Mlezi wa Polisi Jamii na Ulinzi Shirikishi
 Mbunge wa Mvemero na Naibu Waziri, Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Amos Makalla akijiandaa kukabidhi Mifuko 70 ya Saruji kwa Mwalimu Kiongozi wa Shule ya Msingi Mkindo B kwa ajili ya ujenzi wa Vyumba vya madarasa katika Shule hiyo

No comments:

Post a Comment