MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Wednesday, January 9, 2013

Mwani Nyangasa asherehekea siku ya kuzaliwa

 Mhariri wa Michezo wa gazeti la Mtanzania Mwani Nyangasa (katikati) akiwa mwenye furaha wakati akijiandaa kuwalisha keki baadhi ya wafanyakazi wa Chumba cha habari cha gazeti la Mtanzania
Mwani Nyagasa (kushoto) akimlisha mwandishi wake wa michezo, Jenifer Ulembo
Mwani Nyangasa akijiandaa kukata Keki

No comments:

Post a Comment