MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Wednesday, February 13, 2013

Afriacan Lyon walaluliwa na Yanga 4-0


Mshambuliaji wa Yanga, Oscar Joshua akijaribu kumtoka beki wa Afrika Lyon, Amani Kyata wakati wa mchezon wa Ligi kuu Tanzania Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jana . Yanga ilishinda 4-0

Wachezaji wa Yanga wakishangilia moja ya magoli kati ya manne waliyofunga wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya timu ya African Lyon uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment