MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Wednesday, August 7, 2013

MRISHO NGASSA AANZA MAZOEZI YANGA

Mrisho Ngassa aliyesajiliwa na yanga akitokea timu ya simba alikokuwa anachezea kwa mkopo akitokea AZAM FC, hatimaye leo ameanza mazoezi na timu yake mpya ya Yanga kwa ajili ya maandalizi ya ligi Kuu Tanzania Bara inayotarajia kuanza mwezi ujao

No comments:

Post a Comment