MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Friday, August 9, 2013

WAUMINI WA DINI YA KIISLAMU WAHIMIZWA KUENDELEA NA MATENDO MEMA WALIYOKUWA WANAYANFANYA KIPINDI CHA MFUNGO WA MWEZI MTUKU WA RAMADHANI


Baadhi ya waumini wa Dini ya kiislamu wakishiriki swala ya idd el Fitri iliyoswaliwa kimkoa katika viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam leo.     
 Waumini wa Dini ya Kiisilamu  mkoani Dar es Salaam wakiswali katika viwanja vya Mnazi Momoja Dar es Salaam
 wakiomba dua

Sehemu ya Waumini wa dini ya Kiislamu waliojitokeza kuhudhuria Swala ya Sikukuu ya Iddi, iliyoswaliwa Kitaifa kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Mkoani Tabora leo


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na Mufti Mkuu wa Tanzania, Shaaban Bin Simba, mara baada ya Swala ya Iddi iliyofanyika Kitaifa kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Mkoani Tabora leo

Sheikh wa mkoa wa Dar es Salaam Mussa Salum, Mwenyekiti wa CU, Profesa Ibrahim Lipumba wakishiriki swala ya idd el fitri katika viwanja vya Mnazi Mmoja.
Baadhi ya waumini wa Dini ya Kiislamu mkoani Dar es Salaam wakishiriki swala ya Idd el Fitri

No comments:

Post a Comment