MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Sunday, April 13, 2014

WASAFIRI WA MIKOANI WAKWAMA MTO RUVU


 Msululu wa magari baada ya mafuriko katika Mto Ruvu mkoani pwani
Wasafiri wakitoka Mlandizi kuelekea katika Mto Ruvu ambao umeja na magari ya kwenda mikoani kushindwa kuvuka

Abiria waliokuwa wanatoka mkoani Morogoro kuelekea Dar es Salaam wakiwa Ruvu Darajani wakitafakari jinsi ya kuvuka

No comments:

Post a Comment