Gari la Jeshi la Zimamoto likiwa kwenye Kicuko cha Mv Magogoni tayari kwa kufushwa kuwahi kuzima moto uliokuwa unaunguza moja ya nyumba eneo la Kigamboni, Dar es Salaam leo
|
Kivuko cha Mv Magogoni (kulia) kikielekea Kigamboni kikiwa hakina watu kutokana na haraka ya kulivusha gari la Zimamoto. Kushoto ni Kivuko cha Mv Kigamboni kikitoka eneo la Kigamboni
|
No comments:
Post a Comment