Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (kushoto) akizungumza na Waziri Mkuu, Mstaafu,
Cleopa David Msuya alipomtembelea Ofisini kwake, Dar es Salaam .
Wafanyabiashara
wa Vitanda wakipanga Vitanda sehemu zilipokuwa Kota za Magomeni eneoa la Magomeni Barafu
ili kusubiri wateja kama walivyokutwa. Sehemu hiyo kwa sasa inatarajiwa kujengwa majengo ya kisasa na kubadilisha sura ya mji wa Magomeni.
No comments:
Post a Comment