MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Wednesday, August 20, 2014

TANZANIA ELEVEN WAENDELEA NA MAZOEZI


Makipa wa Tanzania Eleven, Peter Manyika na Mohamed Mwameja aliyedaka mpira wakiendelea na mazoezi ya kujianda na mchezo dhidi ya wachezaji waliowahi kuichezea Real Madrid ya Hispani utakaochezwa katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam Jumamosi



Baadhi ya wachezaji wa Tanzania Eleven wakiwa atika mazoezi katika Uwanja wa Karume, Dar es Salaam


No comments:

Post a Comment