JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA BUNGE
RATIBA YA MAZISHI YA ALIYEKUWA KATIBU MKUU WA CHAMA CHA MABUNGE YA NCHI WANACHAMA WA JUMUIYA YA MADOLA (COMMON WEALTH PARLIAMENTARY ASSOCIATION) DR. WILLIAM FERDINAND SHIJA
Siku na Tarehe
|
Muda
|
Tukio
|
Mhusika
| |||
9:15
Alasiri
|
Mwili kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa JNIA kwa Emirates EK 0725
|
Kamati
| ||||
9:30
Alasiri
|
Kumpokea mjane kutoka kwenye ndege kwenda VIP
|
Mwenyekiti wa CPA Tanzania Branch
| ||||
Jumamosi
11 Oktoba, 2014
|
10:00
Alasiri
|
Kuutambua mwili na kukamilisha taratibu za Uhamiaji
|
Mke wa marehemu na Wanafamilia
| |||
10:05
Alasiri
|
Mwili kubebwa na kuwekwa kwenye gari
|
Waombolezaji
| ||||
10:10
Alasiri
|
Msafara kuelekea nyumbani
|
Kamati
| ||||
11:20
Jioni
|
Ibada ya Misa Takatifu nyumbani
|
Padre
| ||||
11:20 Jioni – na kuendelea
|
Viongozi wa Kitaifa na waombolezaji kutoa pole kwa familia na shughuli za maombelezo kuendelea
|
Wanafamilia
| ||||
Jumapili
12 Oktoba, 2014
|
1:00 – 2:00
Asubuhi
|
Kifungua kinywa nyumbani kwa marehemu
|
Kamati
| |||
3:00 – 3:30
Asubuhi
|
Waombolezaji kuwasili Viwanja vya Karimjee
|
Kamati na Wanafamilia
| ||||
3:30 – 4:00
Asubuhi
|
Viongozi wa Kitaifa kuwasili Karimjee kulingana na Itifaki
|
Kamati
| ||||
4:00 – 4:15
Asubuhi
|
Mwili wa marehemu kuwasili Viwanja vya Karimjee kwa gwaride maalum la Mpambe wa Bunge
|
Kamati
| ||||
4:15 – 4:25
Asubuhi
|
Wasifu wa Marehemu
|
Katibu wa Bunge
| ||||
4:25 – 4:30
|
Maelezo ya Familia kuhusu Marehemu
|
Anna Claire Shija
| ||||
4:30 – 4:35
Asubuhi
|
Salamu za Rambirambi kutoka CCM
|
Mwakilishi
| ||||
4:35 – 4:45
Asubuhi
|
Salamu za Rambirambi kutoka Kambi ya Upinzani Bungeni
|
MC
| ||||
4:45: – 4:55
Asubuhi
|
Salamu za Rambirambi – CPA Kanda ya Afrika
|
Mwakilishi
| ||||
4:55 – 5:05
Asubuhi
|
Salamu za Rambirambi – CPA Makao Makuu
|
Mwakilishi
| ||||
5:05 – 5:15 Asubuhi
|
Salam za Rambirambi kutoka Serikalini *
|
Mwakilishi
| ||||
5:15 – 5:25 Asubuhi
|
Salamu za Rambirambi kutoka Bunge
|
Spika wa Bunge
| ||||
5:25 – 5:35 Asubuhi
|
Neno la Shukrani kutoka kwa familia
|
Familia ya marehemu
| ||||
Jumapili
12 Oktoba, 2014
|
5:35 – 5:45 Asubuhi
|
Kutoa utaratibu wa safari
|
Katibu wa Bunge
| |||
5:45 – 6:45 Mchana
|
Kutoa heshima za mwisho
|
Kamati
| ||||
6:45 – 7:30 Mchana
|
Mwili wa marehemu kuelekea Uwanja wa Ndege
|
Kamati
| ||||
7:30 – 8:00 Mchana
|
Taratibu za kusafirisha mwili
|
Kamati
| ||||
10:00
Alasiri
|
Mwili kuwasili Uwanja wa Ndege wa Mwanza
|
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza / Kamati
| ||||
12:00
|
Mwili kuwasili nyumbani kwa marehemu Sengerema.
|
Mkuu wa Wilaya / Kamati
| ||||
* Mtiririko huo unaweza kubadilika kutegemea na itifaki ya Mwakilishi wa serikali.
| ||||||
Siku naTarehe
|
Muda
|
Tukio
|
Mhusika
| |||
2:00 – 3:00
Asubuhi
|
Kifungua kinywa
|
Wote
| ||||
3:00 – 4:00
Asubuhi
|
Ibada nyumbani kwa marehemu
|
Askofu/Padre
| ||||
4:00 – 4:15
Asubuhi
|
Mhe. Rais Kuwasili
|
Mkuu wa Mkoa
| ||||
4:15 – 5:00
Asubuhi
|
Kuaga mwili wa marehemu
|
Waombolezaji
| ||||
5:00 – 5:30
Asubuhi
|
Kuelekea makaburini
|
Waombolezaji
| ||||
5:30 – 6:30
Mchana
|
Shughuli za mazishi
|
Askofu/Padri
| ||||
6:30 – 7:00
Mchana
|
Mashada
|
Kamati
| ||||
7:00 – 7:05
Mchana
|
Wasifu wa marehemu
|
Kamati
| ||||
7:05 – 7:10
Mchana
|
Salamu za Rambirambi
|
Mkuu wa Wilaya
| ||||
Jumatatu
13 Oktoba, 2014
|
7:10 – 7:15
Mchana
|
Salamu za Rambirambi CCM
|
Uongozi Mkoa/Wilaya
| |||
7:15 – 7:20
Mchana
|
Salamu za Rambirambi
|
Mwakilishi CPA Kanda ya Afrika
| ||||
7:20 – 7:25
Mchana
|
Salam za Rambirambi
|
Spika wa Bunge
| ||||
7:25 – 7:30
Mchana
|
Salamu za Rambirambi
|
Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
| ||||
7:30 – 7:40
Mchana
|
Neno la shukrani kutoka kwa familia
|
Mwakilishi wa familia
| ||||
7:40 – 8:00
Mchana
|
Mwisho wa shughuli za mazishi, Waombolezaji kurejea nyumbani
|
Waombolezaji Wote
| ||||
8:00 – 9:00
Mchana
|
Chakula
|
Wote
| ||||
9:00 – 10:00
Alasiri
|
Viongozi kuondoka
|
Kamati
| ||||
MWISHO
|
No comments:
Post a Comment