MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Sunday, August 7, 2016

MAANDALIZI YA MSIMU MPYA WA LIGI KUU 206/17 MTIBWA SUGAR VS YANGA HAKUNA MBABE

 Wachezaji wa Mtibwa Sugar wakiomba dua kabla ya kuanza kwa mchezo wa kirafiki dhidi ya Yanga
 Kikosi cha kwanza kilichoanza wakati wa mchezo wa kirafiki dhidi ya Yanga

 Mmoja wa wamiliki wa timu ya Mtibwa Sugar, Jamal (katikati) akifuatilia wachezaji wa timu hiyo wakifanya mazoezi kabla ya mchezo wa kirafi kuanza dhidi ya Yanga

 Wachezaji wa Mtibwa Sugar wakipasha kabla ya kuanza kwa mchezo wa kirafiki dhidi ya Yanga



 Wachezaji wa Mtibwa Sugar wakisalimiana na wachezaji wa Yanga wakati wa mchezo wa kirafiki uliochezwa katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
Wachezaji wa Mtibwa wakipasha kabla ya mchezo kuanza

No comments:

Post a Comment