MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Sunday, August 7, 2016

NAIBU KATIBU MKUU KATIBA NA SHERIA AFUNGA NDOA


Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Sheria na Katiba, Amon Mpanju akilishwa  keki  na mkewe , Analises katika tafrija ya harusi yao iliyofanyika kwenye ukumbi wa Jeshi Lugalo jijini Dar es salaam jumamosi na iliyohudhuliwa na Waziri Mkuu na  Kassim Majaliwa na mkewe Mary Picha na Ofisiya Waziri Mkuu
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Sheria na Katiba, Amon Mpanju akimlisha  keki   mkewe , Analises katika tafrija ya harusi yao iliyofanyika kwenye ukumbi wa Jeshi Lugalo jijini Dar es salaam jumamosi na iliyohudhuliwa na Waziri Mkuu na  Kassim Majaliwa na mkewe Mary Picha na Ofisiya Waziri Mkuu

No comments:

Post a Comment