MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Sunday, June 11, 2017

EVERTON KUSHUHUDIA BUGA ZA WANYAMA NCHINI TANZANIA KWA KUMENYANA NA TIMU YA GORMAHIA KUTOKA KENYA JULY 13



Naibu Waziri wa Ajira Kazi Anthony Mavunde, akimkabidhi Kikombe cha SportPes Super Cup, Nahodha wa Gor Mahia ya Kenya  baada ya kuibuka washindi kwenye mchezo wa Fainali uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam dhidi ya AFC Leopards na kuibuka na ushindi  3-0. Picha kwa hisani ya Montage Ltd




Wachezaji wa Gormahia na AFC Leopard wakiwania mpira wakati wa mchezo wa Fainali

No comments:

Post a Comment