MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Monday, August 7, 2017

Maonyesho ya Nanenane kanda ya kati mkoani Dodoma


Ofisa Habari wa Bunge, Patson Sobha akizungumza na wanafunzi wa  Shule ya Msingi ya Maria de Mattias iliyopo kisasa Mjini Dodoma walipotembelea Banda la Bunge wakati wa Maonyesho ya Nane nane yanayoendelea   kwenye Viwanja vya Nzunguni, Mjini Dodoma

No comments:

Post a Comment