MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Thursday, March 30, 2017

BENKI YA EFC YAZINDUA HUDUMA MPYA JIJINI DAR ES SALAAM


Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya EFC, Bas Nierop akizungumza wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya mtandao kwa wateja wa benki hiyo, jijini, Dar es Salaam jana. Wa pili kutoka kulia ni Mkurugenzi wa kitengo cha mikopo, Robert Pascal, Mkurugenzi Uendeshaji, Hawa Mgode na Meneja Masoko, Waheeda Mohamed
 Baadhi ya wateja wa benki hiyo waliohudhuria katika uzinduzi
 Baadhi ya wateja wa benki hiyo waliohudhuria katika uzinduzi
 Mkurugenzi wa kitengo cha mikopo, Robert Pascal akiwaeleza wateja wa benki hiyo jinsi huduma zikavyoendeshwa kwa ufanisi

No comments:

Post a Comment