MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Wednesday, December 20, 2017

WAHARIRI WATEMBELEA KITUO CHA KUFUA UMEME WA MAJI CHA NYUMBA YA MUNGU WILAYANI MWANGA MKOANI KILIMANJARO



Bwawa la Nyumba ya Mungu, lililoko mpakani mwa wilaya za Mwanga na Simanjiro. Hapa ndipo maji yanaposukumwa kuelekea kwenye mashine za kufua umeme wa maji.


 Kituo cha kufua umeme wa maji cha Nyumba ya Mungu, wilayani Mwanga mkoa wa Kilimanjaro. Kituo hicho kilizinduliwa mwaka 1968 na Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na kina uwezo wa kutoa Megawati 8 za umeme.


Kaimu Meneja Uhusiano wa TANESCO, Leila Muhaji, (kulia), na wahariri wa vyombo vya habari, wakisikiliza maelezo ya kiufundi kutoka kwa msimamizi mkuu wa mitambo ya udhibiti umeme kituo cha kufua umeme wa maji cha Nyumba ya Mungu mkoani Kilimanjaro

No comments:

Post a Comment