MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Monday, January 1, 2018

MKESHA WA MWAKA MPYA 2018 ULIVYOFANA KATIKA UWANJA WA UHURU JIJINI DAR ES SALAAM

Wananchi wakiwa wanasubiri daki chache ili wawezekusherehekea mwaka mpya 2018
 Wananchi wakiomba maombi kabla ya kuukaribisha mwaka mpya
  Wananchi wakiomba maombi kabla ya kuukaribisha mwaka mpya
 Wananchi wakiomba maombi kabla ya kuukaribisha mwaka mpya
Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe (wa pili kutoka kushoto), Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda (wa kwanza kulia) Askofu Godfrey Malasi na Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Charles Mambosasa wakiomba maombi wakati wa mkesha wa mwaka mpya
 Wananchi wakifurahia baada ya kuukaribisha mwaka mpya 2018
 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akihutubia wakati wa mkesha wa mwaka mpya katika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam
Wanakwaya wakiimba baada ya kuukaribisha mwaka mpya 2018

No comments:

Post a Comment