MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Monday, January 1, 2018

NAIBU WAZIRI DK MARY MWANJELWA AWASIHI WAUMINI KUUNGA MKONO JUHUDI ZA RAIS DK JOHN MAGUFULI


Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo  Dkt Mary Mwanjelwa akiwasihi waumini kumuunga mkono na kumuombea Rais Magufuli wakati akitoa salamu kwenye ibada ya Siku ya wazee iliyofanyika katika kanisa La Huduma ya Maombezi na Uponyaji (Jesus Healing Centre T. Ministry) lililopo katika Mtaa wa Sinde B, Kata ya Manga Jijini Mbeya

Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo  Dk Mary Mwanjelwa akimlisha chakula mmoja ya wazee waliohudhuria ibada ya Siku ya Wazee

Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo Mhe Dk Mary Mwanjelwa(wa kwanza kulia) pamoja na Viongozi wengine wakiongoza maombi wakati wa ibada ya Siku ya Wazee

Miongoni mwa wazee waliohudhuria ibada ya Siku ya Wazee iliyofanyika katika kanisa La Huduma ya Maombezi na Uponyaji (Jesus Healing Centre T. Ministry) lililopo Katika Mtaa wa Sinde B, Kata ya Manga Jijini Mbeya

Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo Mhe Dkt Mary Mwanjelwa akifanyiwa maombi na viongozi wa dini wakati wa ibada ya Siku ya Wazee


wazee waliohudhuria ibada ya Siku ya Wazee iliyofanyika katika kanisa La Huduma ya Maombezi na Uponyaji (Jesus Healing Centre T. Ministry) lililopo Katika Mtaa wa Sinde B, Kata ya Manga Jijini Mbeya wakipata chakula. Picha zote na Mathias Canal

No comments:

Post a Comment